Kuishi Kikristo Kwa Vitendo
Kuishi Kikristo Kwa Vitendo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 11: Thamani ya Binadamu

16 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Mwisho kabisa wa somo hili, mwanafunzi anatakiwa awe na uwezo wa:

(1) Kuamini kuwa kila mwanadamu ni mwenye thamani na anastahili kuheshimiwa kwa sababu ameumbwa kwa mfano wa Mungu.

(2) Kuchukua jukumu la kufanya vitendo vya haki na kuwa mwenye huruma kwa wale ambao wananyanyaswa sehemu wanapoishi.

(3) Kujitolea kuwatendea watu wote kwa utu bila kujali hali.