Kuishi Kikristo Kwa Vitendo
Kuishi Kikristo Kwa Vitendo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 2: Mazoezi ya utii kwa Mungu

11 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Mwisho kabisa wa somo hili, mwanafunzi anatakiwa awe na uwezo wa:

(1) Kuchunguza uhusiano wa kivitendo uliopo kati ya upendo wakikristo na maisha binafsi ya mkristo.

(2) Kuaangalia kwa umaakini maeneo kumi ambayo mkristo katika hali ya kuendelea ataishi maisha yake sawasawa na kanuni za maandiko.

(3) Kueleza sababu mbili kwanini wakristo hutofautiana kutumia kanuni za kimaandiko zinazohusiana na mambo ya kimaisha.

(4) Fupisha kanuni tisa (zilizotolewa katika somo) za kufanya maamuzi maishani.