Malengo ya Somo
Mwisho kabisa wa somo hili, mwanafunzi anatakiwa awe na uwezo wa:
(1) Kuchunguza uhusiano wa kivitendo uliopo kati ya upendo wakikristo na maisha binafsi ya mkristo.
(2) Kuaangalia kwa umaakini maeneo kumi ambayo mkristo katika hali ya kuendelea ataishi maisha yake sawasawa na kanuni za maandiko.
(3) Kueleza sababu mbili kwanini wakristo hutofautiana kutumia kanuni za kimaandiko zinazohusiana na mambo ya kimaisha.
(4) Fupisha kanuni tisa (zilizotolewa katika somo) za kufanya maamuzi maishani.