Kuishi Kikristo Kwa Vitendo
Kuishi Kikristo Kwa Vitendo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 12: Serikali

10 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Mwisho kabisa wa somo hili, mwanafunzi anatakiwa awe na uwezo wa:

(1) Ataelewa majukumu na mipaka ambayo Mungu ameweka kwenye serikali.

(2) Atii maagizo na kanuni za biblia katika mahusiano yake na serikali.

(3) kujikita katika kuwa na ushawishi katika jamii kwa ajili ya haki.