Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 8: Utakatifu ni Kumpenda Jirani Yako

35 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:

(1) Amtambue Yesu kama mfano wa kuigwa wa Utakatifu.

(2) Akubaliane na maana ya ukamilifu katika Biblia.

(3) Kufanya ukuaji uendelevu wa upendo mkamilifu.   

(4) Achukue hatua za vitendo kuonyesha upendo kwa Wakristo na wasio Wakristo.

(5) Kukariri Mathayo 5:43-48.