Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 4: Utakatifu ni Kutengwa

35 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:

  1.  Atambue umuhimu wa kila Mkristo kutengwa kutoka kwenye dhambi.
  2.  Afahamu faida kubwa iliyopo katika kutengwa kwa ajili ya Mungu.  
  3.  Aweze kukuza kanuni za kivitendo za ufahamu wa kibiblia za kutengwa.
  4.  Kukariri 2 Wakorintho 6:16-18.