Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 11: Utakatifu ni Ushirika usiovunjika na Mungu

21 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:

(1) Kufurahia ukamilikaji wa ahadi za kinabii za Mungu.

(2) Kutambua kwamba ushirika katika kanisa  ni maandalizi ya ushirika wa mbinguni.

(3) Kuwajibika kwa vitendo katika kanisa linalohamasisha ukuaji wa utakatifu.

(4) Kukariri Ufunuo 21:2-3.