Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 3: Utakatifu ni Sura ya Mungu ndani ya Mtu

20 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:

(1) Kutambua vyema mpango wa Mungu wa kurejesha sura ya Mungu kwa     mwanadamu.

(2) Kufahamu utaratibu anaotumia Mungu katika kurejesha sura yake ndani ya mwanadamu.

(3) Aruhusu Mungu atimize mpango wake wa kila siku wa mabadiliko ndani ya sura yake.

(4) Kukariri 2 Wakorintho 3:17-18.