Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 6: Utakatifu ni Haki na Uadilifu

23 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:

  1. Atambue kwamba uadilifu wa ndani ni lazima uonekane katika tabia ya nje.
  2. Kutumia kanuni za utakatifu katika maamuzi ya kimaadili kwa vitendo.
  3. Kutathmini maadili yake binafsi
  4. Kukariri Mika 6:8.