Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 12: Je, Maisha Matakatifu Yanawezekana?

26 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Hadi kufikia mwisho wa somo hili, mwanafunzi anapaswa:

(1) Kutambua kwamba agizo la Mungu la utakatifu linatimizwa katika ahadi yake ya kutufanya sisi tuwe watakatifu.

(2) Kujisalimisha kabisa kwa Wito wa Mungu wa utakatifu.

(3) Kujihusisha katika ukuaji wa kila siku katika utakatifu.

(4) Kukariri 1 Wathesalonike 5:23-24.