Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 5: Utakatifu ni Moyo Usiogawanyika – “Kuwa Mkamilifu”

18 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Hadi kufikia mwisho wa somo hili, mwanafunzi anapaswa:

(1) Kuelewa kwamba neno “Kuwa Mkamilifu” kwenye Agano la Kale linamaanisaha moyo usiogawanyika.

(2) Kuelewa hatari ya kiroho iliyopo ya moyo uliogawanyika.  

(3) Kujisalimisha kwa Mungu na “Ndiyo” isiyokuwa na masawli.  

(4) Kukariri Zaburi 86:11-12.