Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 2: Utakatifu ni Mahusiano - “Kutembea na Mungu”

13 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Hadi kufikia mwisho wa somo hili, mwanafunzi anapaswa:

(1) Akubaliane na mpango wa Mungu anayewezesha mahusiano ya kila siku kwa watu wake.      

(2) Atambue kwamba sisi ni watakatifu kupitia mahusiano yetu na Mungu, na siyo kwa jitihada za kibinadamu.

(3) Ajikabidhi kabisa katika kutumia muda wake wa ila siku kujenga mahusiano na Mungu.  

(4) Ajazwe uwezo wa kuwasaidia waamini wengine kukua katika mahusiano na Mungu    

(5) Kukariri 1 Yohana 1:6-7.