Malengo ya Somo
Hadi kufikia mwisho wa somo hili, mwanafunzi anapaswa:
(1) Akubaliane na mpango wa Mungu anayewezesha mahusiano ya kila siku kwa watu wake.
(2) Atambue kwamba sisi ni watakatifu kupitia mahusiano yetu na Mungu, na siyo kwa jitihada za kibinadamu.
(3) Ajikabidhi kabisa katika kutumia muda wake wa ila siku kujenga mahusiano na Mungu.
(4) Ajazwe uwezo wa kuwasaidia waamini wengine kukua katika mahusiano na Mungu
(5) Kukariri 1 Yohana 1:6-7.
