Malengo ya Somo
Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:
(1) Kutambua kiini cha utakatifu katika nyaraka za Agano Jipya.
(2) Kufurahia utoaji wa Mungu wa kuwafanya watu wake wamfananie Kristo.
(3) Kutambua uwiano uliopo kati ya kile ambacho Mungu tayari ameshatufanya tuwe watakatifu na kile Mungu anachoendelea kukifanya jinsi tunavyoendelea kukua katika utakatifu.
(4) Kukubaliana na uwezekano wa maisha yenye ushindi endelevu juu ya dhambi ya makusudi.
(5) Kukariri Wafilipi 2:1-5.
.jpg)