Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 10: Utakatifu ni Kumfanania Kristo

42 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:

(1) Kutambua kiini cha utakatifu katika nyaraka za Agano Jipya.

(2) Kufurahia utoaji wa Mungu wa kuwafanya watu wake wamfananie Kristo. 

(3) Kutambua uwiano uliopo kati ya kile ambacho Mungu tayari ameshatufanya tuwe watakatifu na kile Mungu anachoendelea kukifanya jinsi tunavyoendelea kukua katika utakatifu.

(4) Kukubaliana na uwezekano wa maisha yenye ushindi endelevu juu ya dhambi ya makusudi.

(5) Kukariri Wafilipi 2:1-5.