Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 7: Utakatifu ni Kumpenda Mungu

29 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:

(1) Atathamini uzuri wa uhusiano wa upendo pamoja na Mungu.

(2) Kufuata mfano wa Yesu kama alivyompenda Baba kwa ukamilifu wote.

(3) Kutambua kwamba ulimwengu na sheria kwa pamoja ni dalili na sababu kuu za uharibifu.

(4) Kukariri Marko 12:29-31.