Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 1: Uzuri wa Utakatifu

25 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:

(1) Akubaliane na uzuri wa utakatifu wa Mungu na mpango wake wa kutufanya tuwe watakatifu.

(2) Akatae mitazamo inayopotosha kuhusiana na utakatifu, na akubaliane na mitazamo ya kibiblia inayohusiana na utakatifu. 

(3) Aimarishwe katika kuweza kumfafanulia mwamini mpya ni nini maana ya kuwa mtakatifu.

(4) Kukariri 1 Petro 1:14-16.