Type at least 2 characters to search
No results found for ""
Courses
Lessons
Sections
navigate open
See all results →
Utangulizi wa ibada ya Kikristo

Utangulizi wa ibada ya Kikristo

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 2: Mungu na Muabuduji

19 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Mwisho wa somo hili, mwanafunzi anapaswa:

(1) Kutambua taswira ya kibiblia ya Mungu na jukumu lake katika ibada yetu.

(2) Kuelewa matakwa ya Mungu kwa wanaomwabudu.

(3) Kutafuta kuthibitisha matakwa ya Mungu kwa wanaomwabudu.

(4) Kuthamini neema ya Mungu kwa kuruhusu mwanadamu kuingia katika uwepo wake kwa ajili ya ibada.