Malengo Ya Somo
Mwisho wa somo hili, mwanafunzi anapaswa:
(1) Kutambua uhusiano kati ya ibada ya ushirika na mtindo wa maisha wa kuabudu.
(2) Kuelewa kwamba mtindo wa maisha wa kuabudu hubadilisha maadili ya mtu.
(3) Kutafuta kuishi kwa utukufu wa Mungu.
(4) Kujitolea kwa mtindo wa maisha wa kuabudu unaofundishwa katika Warumi 12:2.
(5) Kutaja theolojia ya kuabudu yenye msingi wa kibiblia.
