Kitabu Cha Taasisi Za Wenyeji
Kitabu Cha Taasisi Za Wenyeji
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 8: Kuendesha Taasisi ya Wachungaji Wenyeji

6 min read

by Stephen Gibson


Utangulizi

Masomo ya SGC yanatumika katika mafunzo ya namna tofauti tofauti. Shule za sekondari baadhi zinaweza kutumia baadhi ya masomo. Makanisa kadhaa yanatumia masomo haya katika shule za jumapili kwa watu wazima. Vikundi vya kujifunza Biblia manyumbani huchagua masomo haya na kujifunza. Wachungaji huchagua taarifa kutoka masomo haya na kutumia katika mahubiri na kufundisha.

Maelekezo katika sura hii yanatumika katika utendaji wa taasisi ya wenyeji ambao wanatumia masomo 20 ya SGC katika mafunzo yote.