Malengo ya Somo
Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:
(1) Kutambua undani wa upendo katika maisha na huduma ya Yesu.
(2) Kuelewa kwamba upendo kwa ajili ya Mungu unahusisha mahusiano na Mungu, Ufahamu wa Neno la Mungu, na kuamini katika mapenzi ya Mungu.
(3) Kufuatisha upendo wa Yesu kwa watu wengine katika huduma.
(4) Akubaliane na umuhimu wa kuendelea kujisalimisha kwa Mugu Appreciate the importance of ongoing surrender to God.
(5) Aonyeshe mwenendo unaomfanania Yesu katika maisha ya kila siku.