Malengo ya Somo
Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:
(1) Aelewe maana ya ufalme wa Mungu katika Vitabu vya Injili.
(2) Kutambua kwa pamoja vipengele vya wakati huu na wakati ujao vya ufalme wa Mungu.
(3) Kufuata kanuni za Yesu za maisha katika ufalme kutokana na Mahubiri ya Mlimani.
(4) Kufasiri kwa ukamilifu mifano ya Yesu kuhusiana na ufalme.
(5) Kujikabidhi kwenye masharti ya Yesu kuhusiana na uanafunzi.