Kuishi Kikristo kwa vitendo
Malengo ya Somo
Mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi anapaswa:
(1) Kuelewa ni nini Biblia humaanisha inapozungumza kuhusu “dunia.”
(2) Kutambua maeneo ambayo dunia na maadili yake yameathiri Maisha yake.
(3) Kueleza ni kwa jinsi gani na ni kwanini namna ya kufikiri ya mkristo ni lazima iwe tofauti na mwenye dhambi.
(4) Kuelezea inamaanisha nini mkristo kuishi maisha ya uadilifu.
(5) Kuonyesha kwamba kweli ya kikristo lazima udhihilishwe katika kila Nyanja ya maisha.
Please select a section from the sidebar.