Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu
Malengo ya Somo
Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:
(1) Akubaliane na uzuri wa utakatifu wa Mungu na mpango wake wa kutufanya tuwe watakatifu.
(2) Akatae mitazamo inayopotosha kuhusiana na utakatifu, na akubaliane na mitazamo ya kibiblia inayohusiana na utakatifu.
(3) Aimarishwe katika kuweza kumfafanulia mwamini mpya ni nini maana ya kuwa mtakatifu.
(4) Kukariri 1 Petro 1:14-16.
Please select a section from the sidebar.