Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu

Mafundisho na mazoezi ya maisha Matakatifu

Malengo ya Somo

Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:

(1) Akubaliane na uzuri wa utakatifu wa Mungu na mpango wake wa kutufanya tuwe watakatifu.

(2) Akatae mitazamo inayopotosha kuhusiana na utakatifu, na akubaliane na mitazamo ya kibiblia inayohusiana na utakatifu. 

(3) Aimarishwe katika kuweza kumfafanulia mwamini mpya ni nini maana ya kuwa mtakatifu.

(4) Kukariri 1 Petro 1:14-16.