Familia ya Kikristo
Malengo ya Somo
Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:
(1) Atambue na athamini uhusiano ambao Mungu anataka awe nao Pamoja nasi.
(2) Aelewe na athamini sura ya Mungu kwa kila mtu.
(3) Atambue kwamba sisi tunawajibika kwa Mungu kwa ajili ya chaguzi mbalimbali tunazozifanya katika mahusiano yetu.
(4) Afahamu kwamba Biblia ndiyo mwongozo wetu kwa ajili ya mahusiano ya kimungu, na kwamba tunapaswa tumtafakari Mungu katika mahusiano yetu.
Please select a section from the sidebar.