Kanuni Za Kikristo

Kanuni Za Kikristo

Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:

  • Dhana ya Ufunuo wa Jumla na Ufunuo Maalum.

  • Ushahidi kwamba Biblia ni Neno la Mungu.

  • Uhamasisho wa maandiko.

  • Kwa nini uhamasisho wa maandiko unamaanisha kuwa maandiko hayana makosa.

  • Maneno iliyohamasishwa, isiyoweza kuwa na makosa, na isiyokuwa na makosa.

  • Kwa nini Biblia imekamilika na haiwezi kuongezewa habari za ziada.

  • Jinsi Biblia ilivyo chanzo kikuu na mamlaka ya mwisho ya kanuni.

  • Jinsi Biblia ilivyo muhimu katika maisha ya kila siku ya Mkristo.

  • Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu Biblia.

(2) Mwanafunzi ataepuka kusikiliza mamlaka yasiyofaa au kujifunza Biblia akiwa na kusudi finyu.